• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

SAME YATOA MIL 310 KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU

Posted on: April 13th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Same,imekabidhi mkopo wa Shilingi Milioni 110 kwa vikundi  25 vya Wanawake,Vijana na watu wenye ulemavu.

Mkopo huu unafanya jumla ya mikopo iliyotolewa na Halmashauri kwa vikundi maalum kwa mwaka huu wa fedha kufikia Shilingi milioni 310 ambazo zimetolewa kwa vikundi 77.

Akikabidhi mkopo huo,Mkuu wa Wilaya ya Same,Mhe Kasilda Mgeni amewataka wanufaika hao kuhakikisha kuwa wanarejesha mkopo kwa wakati.

"Hii ni mikopo isiyo na riba ambayo Mheshimiwa Rais ameagiza itolewe kwa makundi haya maalum ili iwasaidie kuwakomboa kiuchumi,hivyo mnaporejesha kwa wakati inawezesha kukopeshwa watu wengine"amesema Kasilda

Ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Same kwa  kuzingatia kutenga asilimia 10 ya mapato yake na kuwakopesha wanawake,vijana na wenye ulemavu.

Awali akitoa taarifa ya utoaji wa mikopo hiyo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Anastazia Tutuba amesema kwa mwaka wa fedha 2022/23 Halmashauri ililenga kukopesha Mil 186 ambayo ni asilimia 10 ya mapato yake ya ndani.

"Tukiwa tumebakiza robo moja kumaliza mwaka wa fedha 2022/23 tayari tumeshatoa mikopo ya Shilingi Mil 174 inayotokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani na mil 136 inatokana na marejesho ya vikundi,hivyo kufanya jumla ya mikopo iliyotolewa kuwa Milioni 310"anasema Anastazia

Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Same, Benedict Missani anasema hali ya marejesho ni nzuri kwani kwa mwaka huu wa fedha tayari Shilingi Milioni 153 zimeweza kurejeshwa.

Salma Khan ni mwanamama kutoka kikundi Cha Ushonaji cha Amazing Grace ambaye anasema mikopo hiyo isiyo na riba imewawezesha kujikwamua kiuchumi kwa kuongeza Vitendea kazi na kuboresha mazingira ya kufanyia kazi.

"Mwaka Jana tulilipa milioni tatu na tumeweza kurejesha mwaka huu tumepata mil 10 na tuna uhakika wa kurejesha,tunamsgukuru Sana Rais Samia"anasema Salma

Mwisho.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.