• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

Safari ya mama Samia wilayani Same Novemba 12

Posted on: November 12th, 2018

Mhe.Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan ameongozana na viongozi mbalimbali wa kitaifa akiwemo Mbunge wa taifa Mhe.Anne Malechela ,Waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi Mhe.William Lukuvi na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe.Anna Elisha Mngwira.

Akiwa Wilayani Same Mhe.Makamu wa Rais ametembelea na kuweka jiwe la msingi ujenzi wa shule ya sekondari New Dawn iliyopo kata ya Njoro Mama Samia ameutaka uongozi wa Wilaya ya Same kufanya utaratibu wa haraka kuhakikisha shule hiyo inapata maji na umeme huduma ambazo zitanufaisha na maeneo ya jirani ya shule hiyo.

Baada ya hapo Mhe.Makamu wa Rais alipata fursa ya kuzindua ofisi za wakala wa misitu (TFS) Same na kupanda mti kama ishara ya kuunga mkono jitihada zinazofanywa na TFS katika masuala mazima ya kutunza mazingira ambapo Mama Samiah amewaagiza viongozi wa Wilaya kusimamia na kuhakikisha miti inapandwa maeneo yote ya mjini.

Mkutano wa hadhara ndo ulihitimisha ziara ya Mhe.Makamu wa Rais Wilayani Same. Wakati wa mkutano mama Samia aliongelea mpango wa serikali wa kumshusha mama ndoo kichwani kwa kuleta maji karibu zaidi na makazi ya watu.

Mhe.Makamu wa Rais amezungumzia nia ya serikali ya kuhamasisha na kuwezesha uchumi wa viwanda nchini Tanzania. Amezungumzia maboresho kiwanda cha tangawizi kilichopo kata ya Mamba Miyamba na kuw ataka wahusika waone namna ya kuharakisha matengenezo na kuweka mashine kuanza uzalishaji.

Mhe.Suluhu amewataka wanaSame kuwa na utamaduni wa kupanda miti ili kuleta hali ya hewa nzuri na kutunza mazingira.

 Waziri wa ardhi ,nyumba na maendeleo ya makazi amewatoa hofu wanaSame kwamba kero za viwanja na migogoro ya ardhi imekwisha kwani wizara ya ardhi imepewa muda wa miaka mitano na Mheshimiwa Rais kuhakikisha migogoro yote imekwisha.

Aidha Mhe.Lukuvi amewaagiza viongozi wa Wilaya na Halmashauri kuhakikisha mpaka kufikia mwezi desemba 2018 migogoro yote iliyosababishwa na Wilaya na Halmashauri kutatuliwa na kumalizika.

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.