• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

RC BABU AWATAKA WENYE SIFA KUJITOKEZA KUGOMBEA UONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA

Posted on: October 24th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mheshimiwa Nurdin Babu amewataka wananchi wote wenye sifa za uongozi kuchukua fomu kwaajili ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu.

Mkuu wa Mkoa alitoa wito huo alipotembelea Wilaya ya Same ambapo alisema zoezi la uandikishaji wapigakura limeshamalizika na baada ya majina ya wapiga kura kuhakikiwa kitakachofuata ni kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.

“Zoezi la uchukuaji fomu za kugombea nafasi za Mwenyekiti wa Kijiji/Mtaa na Mwenyekiti wa Kitongoji pamoja na Wajumbe wa Halmashauri za Vijiji zitaanza kutolewa rasmi Oktoba 26 hadi Novemba 1, 2024” Alisema Mheshimiwa Babu.

Mkuu wa Mkoa aliwataka wananchi wote wenye sifa kuchukua fomu kwaajili ya kugombea nafasi hizo ili Vijiji na Mitaa viweze kupata viongozi bora.

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Same Mashariki na Same Magharibi Bw.Jimsoni Mhagama alizitaja sifa za kugombea nafasi hizo ni kuwa raia wa Tanzania na Mkazi wa Kijiji au Kitongoji husika,kuwa na umri wa kuanzia miaka 21 na kuendelea,ajue kusoma na kuandika Kiswahili au kiingereza,awe na shughuli halali ya kumuwezesha kuishi na awe mwanachama wa chama cha siasa na awe amedhaminiwa na chama chake kugombea.

Amesema kwa yeyote mwenye sifa zilizotajwa ana haki ya kugombea nafasi za uongozi kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Jumla ya vijiji 100 na Vitongoji 503 vya wilaya ya Same vinatarajia kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.