• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

MKUU WA WILAYA SAME AONGOZA WANAWAKE KUSAIDIA WENYE UHITAJI

Posted on: March 6th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Same akishirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya pamoja na wanawake Wilayani humo wamefanikiwa kutoa misaada mbalimbali yenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni mbili kwa watoto wenye uhitaji maalum.

Timu hiyo ya wanawake Wilayani Same imefanikiwa kutembelea na kutoa misaada mbalimbali kwa watoto wenye mahitaji maalum wa shule za Msingi Same na Kisima,Kituo cha kulea watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi cha RAFIKI na Mama Mlemavu Mwanaisha Hamisi ambaye ana watoto wawili walemavu.

Akiongoza timu hiyo,Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe:Kasilda Mgeni alisema misaada hiyo imetolea kama sehemu ya maadhimisho ya wiki ya wanawake ambayo kilele chake ni Machi 8 ya kila mwaka.

Akiwa katika Shule ya Msingi Kisima Mkuu wa Wilaya aliwapongeza waalimu kwa kuweza kuwasimamia na kuwalea vema watoto hao wenye usonji ambao wanahitaji uangalizi wa karibu.

"Kwa namna ya kipekee kabisa niwapongeze walimu kwani naelewa kulea watoto hawa kuna changamoto nyingi lakini mmesimama imara kuhakikisha kuwa wanapata elimu iliyo bora"alisema Mkuu huyo.

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Anastazia Tutuba amewapongeza wanawake wa Same kwa kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii katika kuelekea siku ya wanawake duniani Machi 8.

"Ni michango ya wanawake ndio imetuwezesha kuwatembelea watoto na watu wengine wenye uhitaji,wanawake tuendelee kushikamana"alisema Tutuba.

Kwa upande wake Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Jasmini Haji aliwashukuru wanawake Wilayani Same kwa msaada waliowapatia.

"Tunashukuru kwa msaada huu na tunaomba Mwenyezi Mungu awaongezee pale walipopunguza"alisema Mwl.Haji

Siku ya wanawake utafanyika kimkoa Wilayani Same,Machi 8 2023 ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Mhe:Nurdin Babu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.