• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

MILIMA MABONDE UJENZI BARABARA YA CHOME MSANGA

Posted on: June 27th, 2018

Ilikuwa ni siku ya furaha na mshangao kwa wawakilishi wa wananchi wakati wa kumkabidhi mkandarasi barabara ya Msanga/Chome.Wananchi wakiri Rais Magufuli ni kiboko.Hawakuwahi kutengenezewa kwa kiwango cha ubora huo tangu Uhuru.

Waoneshwa kazi atakazofanya mkandarasi ili washiriki usimamizi wa fedha za serikali.Watahadharishwa kutoingilia kazi,na wakiona kasoro watoe taarifa TARURA au ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Maeneo korofi kuwekwa zege ili kudhibiti matengenezo ya kila mwaka.

Mradi wagharimu kiasi cha shilingi milioni 700 kwa kilomita 8,mkandarasi CHECOTEC aahidi mradi kukamilika ndani ya miezi mitano.

Naye Mwenyyekiti wa Halmashauri Mhe.Christopher Irira ataka wananchi kuajiriwa na kuwa walinzi wa vifaa.

Meneja TARURA asema fedha hizi zitakuja kwa awamu;na hii ni awamu ya kwanza kwani mahitaji ya kukamilisha barabara nzima ni Tshs.Billion 3.7

Naye DC Mhe.Rosemary Senyamule amesema kukamilika kwa barabara hii kutaifungua fursa kubwa ya utalii iliyopo kata ya Chome,kwani ndipo ilipo njia ya kufika kilele cha mlima Shengena ambacho ni cha pili kwa urefu kwa mkoa wa Kilimanjaro.Pia itarahisisha usafirishaji wa abiria,wagonjwa na mazao.

Ziara hiyo iliwahusisha TARURA,Mkandarasi,DC,DED,Mwenyekiti wa Halmashauri,viongozi wa kata na vijiji ambao walitembelea kwa mguu eneo kubwa ili kuona kazi inayotegemewa kufanyika.

Hakika Ilani ya CCM inatekelezwa.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.