• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

MIAKA 60 YA UHURU NA MIAKA 59 YA JAMUHURI IWE CHACHU YA MABADILIKO KWENU

Posted on: December 6th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe.Edward Mpogolo amewataka wanaSame kutumia fursa ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru na miaka 59 ya Jamuhuri kama chachu ya mabadiliko kiuchumi,kifikra,kimaendeleo,kiafya na kielimu,aliyazungumza hayo alipokuwa akitembelea maonesho ya mabanda ya taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za kiserikali ambapo maonesho hayo yalifanyika katika eneo la viwanja vya stendi ya mabasi Same.

Taasisi zilizofanya maonesho hayo ni TANESCO,Magereza,Polisi dawati la jinsia na watoto,NMB Banki,TCB Bank,Mwanga Hakika Bank,RUWASA,SAUWASA,Same Kaya Saccos,Same Teachers Saccos,Mkomazi,Ofisi ya mganga mkuu kitengo cha utoaji chanjo ya Uviko 19 na Upimaji virusi vya UKIMWI,kikundi cha Kazi Iendelee,kikundi cha uchenjuaji madini ya kopa,TRA,TAKUKURU,M-POWER na kikundi cha ujasiriamali wa kutengeneza Lishe.

Vikundi vyote hivyo vilitunukiwa vyeti vya shukrani na appreciation na Mhe.Mpogolo.

Hapa ni katika tukio la kukabidhi cheti kwa wataalamu wa TANESCO ambapo Mhe Mkuu wa Wilaya amewapongeza kwa kufikisha huduma kwa takribani wilaya yote ya Same na kuwataka kufikisha umeme katika maeneo yote hata ambayo hayajajengwa 


Hapa Mhe.Mpogolo akikabidhi cheti kwa banda la ofisi ya TAKUKURU

Hapa Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya akikabidhi vyeti vya shukrani kwa taasisi






Hapa Mhe.Mpogolo akipokea zawadi 


Hapa Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya akiwa anaendelea kutoa vyeti vya shukrani




Baada ya kutembelea mabanda hayo kulikuwa na mechi ya mpira wa miguu ya kirafiki katika viwanja vya kwasakwasa kati ya kurugenzi FC na boma FC ambapo boma FC waliibuka kidedea kwa kupata ushindi wa magoli sita 6 hii yote ni katika kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru na miaka 59 ya Jamuhuri 




Hapa Mhe.Mpogolo,Bi.Annastazia Tutuba,Katibu wa CCM wilaya Mhe.Hamisa na Katibu Tawala Wilaya Ndg.Magonera wakiwa wanafwatilia mechi.

Hali kadhalika katika kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru na miaka 59 ya Jamuhuri mamlaka ya mji mdogo Same kwa kushirikiana na benki ya NMB Same,wafanyabiashara wa soko kuu na viongozi wa mtaa wa sokoni wamefanya usafi wa eneo zima la soko kuu Same kama inavyoonekana hapo chini.

Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru na miaka 59 ya Jamuhuri tufanye kazi kwa bidii na uadilifu ili kuijenga Same yetu na Taifa kwa ujumla.

Kazi Iendelee.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • DC KASILDA ATAKA WANANCHU KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI WAKATI WA ZIARA YA MWENGE WA UHURU

    June 10, 2025
  • WASHIRIKI UMISSETA WATAKIWA KUWAKILISHA VEMA WILAYA YA SAME

    June 09, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.