• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

KIKAO MAALUM CHA BARAZA LA HOJA

Posted on: June 14th, 2019

Mkuu wa mkoa wa kilimanjaro Mhe.Anna Mnghwira ashiriki katika kikao maalumu cha baraza la hoja ambapo hoja za miaka ya nyuma idadi ni 63,hoja zilizofungwa ni 40.hoja zilizobaki ni 23 ambapo hoja zilizobaki zimeshatafutiwa majibu na kuwasilishwa ofisi ya mkaguzi mkuu wa mkoa tayari kwa ajili ya uhakiki.

Hoja za mwaka ulioishia tarehe 30 juni 2018 idadi ni 49,hakuna hoja zilizofungwa,hoja zilizobaki ni 72 ambapo majibu ya hoja zilizobaki yameshawasilishwa kwa Mkaguzi Mkuu wa nje (chief External Auditor) kwa ajili ya kuzifanyia uhakiki na kuzifunga.

Hoja za mradi wa maji miaka ya nyuma idadi ni 7,hoja zilizofungwa ni 2,hoja zilizobaki ni 5 ambapo hoja zilizobaki zimepatiwa majibu na nyaraka husika zimewasilishwa kwa mkaguzi wa nje kwa ajili ya uhakiki na kwa mwaka 2017/2018 idadi ni 9,hoja zilizofungwa hakuna,hoja zilizobaki ni 9 jumla ni hoja 14 ambapo hoja zilizobaki zimepatiwa majibu na nyaraka husika zimewasilishwa kwa mkaguzi wa nje kwa ajili ya uhakiki.

Hoja za mradi wa mfuko wa pamoja wa afya kwa miaka ya nyuma idadi ni 15,hoja zilizofungwa ni 7,hoja zilizobaki ni 8 ambapo hoja zilizobaki zimeshatafutiwa majibu na kuwasilishwa kwa mkaguzi mkuu(Chief External Auditor) kwa uhakiki.Hoja za mwaka 2017/2018 idadi ni 7,hoja zilizofungwa hakuna,hoja zilizobaki ni 7 jumla ni hoja 15 ambapo hoja zilizobaki zimeshatafutiwa majibu na kuwasilishwa kwa mkaguzi mkuu(Chief External Auditor) tayari kwa ajili ya uhakiki.

Naye Mkuu wa Mkoa Mhe.Anna Mnghwira ameagiza uongozi wa Halmashauri kupunguza hoja za mapungufu na kuchelewa miradi.Mhe.Mkuu wa Mkoa apongeza kutokuonekana kwa mifuko ya plastiki na amewataka watu wa misitu na mazingira kukaa pamoja ili kupangilia vichaka vilivyopo pembezoni mwa barabara.

Mhe.Anna Mnghwira amechangia mifuko mia moja (100) ya saruji katika shule ya msingi Igulunde iliyopo kata ya Mtii wilayani Same ambapo ni hoja iliyoibuliwa na Diwani wa kata hiyo Mhe.Heriel Msolo kwamba ni muda mrefu mradi wa shule hiyo haukamiliki.

Picha hapo juu ikimuonesha Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Christopher Irira akiongea katika kikao cha baraza maalum cha hoja

Picha hapo juu ikimuonesha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Same Bi.Anna-Claire Shija akimkaribisha Mwenyekiti wa Halmashauri afungue kikao maalum cha baraza la hoja.

Picha hapo juu ikiwaonesha Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Same wakiwa katika kikao maalum cha baraza la hoja.

Picha hapo juu ikiwaonesha wakuu wa Idara na Vitengo wakiwa katika kikao maalum cha baraza la hoja.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.