• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

KIKAO CHA BARAZA MAALUM LA BAJETI 2019/2020

Posted on: February 27th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe.Rosemary Senyamule ameungana na maamuzi ya kikao cha baraza maalum la madiwani wa Halmashauri ya Same cha tarehe 26/27 mwezi Februari 2019 kilichopitisha bajeti ya shilingi 47,765,787,914.00 kwa mwaka wa fedha 2019/20.

Katika bajeti hiyo shilingi 39,391,572,281.74 ni kwa ajili ya mishahara ya watumishi,shilingi 1,670,891,000.00 ni kwa ajili ya matumizi mengineyo(Ruzuku) na shilingi 2,551,621,430.00 ni kwa ajili ya mapato ya ndani.Pamoja na hayo shilingi 3,189,789,500.00 ni kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Akizungumza wakati wa baraza hilo maalum leo tarehe 27.02.201 Mhe.Senyamule amewataka watumishi wa Wilaya ya Same kuwajibika ipasavyo kila mmoja kwa nafasi yake ili kufikia malengo ya mafanikio kiwilaya sambamba na kauli mbiu ya Mhe.Raisi John P.Magufuli ya “hapa kazi tu”

Wakati huohuo amesisitiza wananchi kuwa mstari wa mbele katika kuchangia masuala ya kimaendeleo ikiwemo miradi mbalimbali inayotekelezwa ndani ya Wilaya ya Same.


Naye Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Irira ametoa wito kwa wanasiasa wanaokataza wananchi kuchangia shughuli za kimaendeleo ikiwemo miradi mbalimbali ya kijamii na ukusanyaji wa mapato ya ndani,Mhe.Irira ameongeza kwamba wao (wanasiasa) ndio chachu ya maendeleo katika maeneo yao na lengo la pamoja ni kuhakikisha watu wa Same wanapata maendeleo kwa wakati katika Nyanja zote bila kujali itikadi ya vyama vyao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • DC KASILDA ATAKA WANANCHU KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI WAKATI WA ZIARA YA MWENGE WA UHURU

    June 10, 2025
  • WASHIRIKI UMISSETA WATAKIWA KUWAKILISHA VEMA WILAYA YA SAME

    June 09, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.