• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

KAMATI YA LISHE WILAYANI SAME AZINDULIWA

Posted on: September 7th, 2018

Ni siku ya uzinduzi wa kamati ya lishe wilayani Same ni agizo na kipaumbele cha serikali ambapo mgeni rasmi alikuwa ni mkuu wa wilaya ya Same Mhe.Rosemary Senyamule ambaye alizindua kamati hiyo ya lishe ya wilaya Mwenyekiti wa kamati hiyo akiwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Bi.Anna-Claire Shija,katibu ni mganga mkuu Dr.Godfrey Andrew na wajumbe wengine ni wakuu wa idara na vitengo mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Same na wajumbe wengine ni viongozi wa dini na mashirika mbalimbali kama muongozo unavyoelekeza.

Akizindua kamati hiyo Mhe.Senyamule amesema kama kamati ya lishe ya wilaya kuna kazi kubwa ya kufanya kwa maswala yanayohusiana na lishe ambapo ametoa madhara ya kuwa na lishe duni na faida za kuwa na lishe bora kwamba humwezesha mtu kufanya kazi kwa bidii na kutekeleza vyema majukumu yake na kwa watoto humsaidia kufanya vizuri katika masomo yake.Mhe.Senyamule aliwapongeza waliochaguliwa kuwa wanakamati na kuwataka wawajibike katika majukumu yao kama kamati."Lishe bora ni msingi wa maendeleo yetu kwa ujumla"alisema Mhe.DC.

Naye mganga mkuu Dr.Godfrey Andrew alitoa taarifa fupi juu ya hali ya lishe wilaya ya Same na utekelezaji wa viashiria vya lishe wilaya ya Same,hali halisi ya utekelezaji katika kipindi cha mwaka 2017-2018 ikiwemo fedha zilizotengwa katika utekelezaji wa masualaya lishe katika Halmashauri,bajeti ya wadau na uboreshaji wa huduma za lishe nchini,vikao vya kamati za lishe vya halmashauri,usimamizi shirikishi wa shughuli za lishe,kiwango cha utoaji wa vidonge vya kuongeza wekundu wa damu(FEFO),kutoa huduma ya nyongeza ya matone ya vitamin A kwa watoto walio na umri wa miezi 6-59 na changamoto ambapo changamoto mojawapo ni uhaba wa watoa huduma wa ngazi ya jamii waliopewa mafunzo juu ya unahisi na elimu za lishe ngazi ya jamii.

Afisa lishe wa Wilaya Bi.Jackline Kileng'a akiwasomea wajumbe wa kamati majukumu yao kama muongozo unavyoelekeza.

Naye mwenyekiti wa kamati ya maafa wilaya ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Bi.Anna-Claire Shija aliwashukuru wanakamati na kufunga kikao ambapo aliwataka wanakamati kutekeleza majukumu yao kutokana na nafasi zao.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • WANANCHI WAONYWA KUTOJIUNGANISHIA MAJI KWA NJIA ZISIZO RASMI

    June 18, 2025
  • DC KASILDA ATAKA WANANCHU KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI WAKATI WA ZIARA YA MWENGE WA UHURU

    June 10, 2025
  • WASHIRIKI UMISSETA WATAKIWA KUWAKILISHA VEMA WILAYA YA SAME

    June 09, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.