• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO YAPONGEZA SEKONDARI ZA KIBACHA NA MAKANYA

Posted on: August 27th, 2024

Kamati ya fedha,Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Same imetembelea na kukagua Miradi ya Ujenzi wa mabweni matatu kwenye Shule za Sekondari za Kibacha na Makanya.

Katika ziara hiyo iliyoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Emanuel Mhina alieleza kuridhishwa na Maendeleo ya Ujenzi wa mabweni hayo ambayo yapo kwenye hatua ya umaliziaji.

Akizungumza baada ya kutembelea mabweni mawili yanayojengwa kwenye Shule ya Sekondari Kibacha,mjumbe wa Kamati hiyo Mheshimiwa Mathias Mrita ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Same aliwapongeza walimu kwa usimamizi nzuri wa Ujenzi huo.

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Mhina alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Wilaya ya Same fedha za kuwezesha Miradi hiyo.

Akitoa taarifa ya Ujenzi wa mabweni mawili kwenye Shule ya Sekondari Kibacha, Katibu wa Kamati ya Ujenzi Mwl.Daudi Makorenda alisema katika bweni la kwanza walipokea mili.80 toka mpango wa EP4R na baadae wakaongezewa mil.20 toka mapato ya ndani ya Halmashauri.

Alisema kwa bweni la pili wamepokea Shilingi mil.100.9 Fedha ambazo zimetumika kujenga bweni la pili na kumalizia Ujenzi wa bweni la kwanza ambapo alisema mabweni yote mawili yenye uwezo WA kuchukua wanafunzi 160 yanatarajia kukamilika mapema mwezi Septemba,2024.

Akitoa taarifa ya Ujenzi wa bweni la wavulana kwenye Shule ya Sekondari Makanya,Mkuu wa Shule hiyo Mwl.Bernad Mgaya  alisema awali Shule hiyo ilipatiwa mil.80 kwaajili ya Ujenzi wa bweni lakini hazikutosha hivyo wameongezewa mil.80.5 toka Serikali kuu na ndizo zinazotumika kukamilisha bweni hilo.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.