• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

DKT.BASHIRU ATAKA WENGINE WAJIFUNZE SAME

Posted on: July 12th, 2019

Katika ziara yake ya kikazi Wilayani Same Tarehe 10/07/2019 Dkt.Bashiru Ally Katibu Mkuu CCM Taifa awataka wana CCM na watanzania wote kuilinda amani na utulivu wa nchi yetu.Asisitiza wanachama kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.

Afurahishwa na kazi zinazofanywa na serikali na chama Wilaya ya Same.Akiri taarifa ya DC Same yamfilisi kwani imesema yote ya kutekeleza maelekezo yote ya serikali.Awataka wengine kuiga.

Aridhishwa na maendeleo ya mradi mkubwa wa maji(Same Mwanga).Aagiza kuhakikisha unaisha kwa wakati ili ilani ya CCM iwezeshe wananchi wa Same kuondokana na shida ya maji.

Ampongeza Waziri Mkuu mstaafu Mhe.John Malechela aliyealikwa kushiriki ziara hiyo pamoja na wananchi wa Same kwa kuijenga CCM na kuifanya salama mpaka sasa.

Asisitiza umuhimu wa CCM kuendelea kushika dola ni lazima.Ataka tuwaache wanaolialia badala ya kujenga chama chao kwani wameishiwa sera.Aaagiza wana CCM kuimarisha chama na kuhakikisha tunajitegemea badala ya kutegemea wafadhili kama vinavyofanya vyama vingine.

Mwenyekiti wa CCM wilaya Ndg.Isaya Mngulu amuomba kurudi tena Same ili ajionee maeneo ya milima na ukubwa wa wilaya ya Same.

Mbunge wa Taifa Mhe.Anna Kilango amweleza ukubwa wa wilaya ya Same na kumuomba igawanywe kuongeza ufanisi na urahisi wa kuwafikia wananchi.

Mbunge David Mathayo aeleza tatizo la Tembo kuingia maeneo ya wananchi na ugumu wa barabara za Same.

Wanachama na wapenzi wa CCM wafurika na wampa kuwa kiongozi wa mila wa wapare na wamasai(Mfumwa na Aleigwanani).


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.