• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

WACHARO(DIASPORA) WAKUBALI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUIFIKISHA SAME YA NDOTO ZAO

Posted on: January 12th, 2021


Katika kikao cha wadau wa maendeleo cha kupendekeza mpango wa 2021-2025 wa Wilaya ya Same,ambapo zaidi ya wacharo 100 walishiriki,Madiwani,taasisi za dini.

Walikubaliana kufanya mambo makubwa yatakayoifanya Wilaya ya Same kuwa kati ya zenye maendeleo makubwa katika sekta mbalimbali kwa miaka 5 kwa kuungana na juhudi za serikali zinazoongozwa na Rais Mhe.Dr John Pombe Magufuli.

Katika kukamilisha kazi hiyo iliundwa timu ya watu 20 ili kuuweka mpango huo kitaalamu,kazi itakayokamilika tarehe 30/01/2020.

Kuanzisha kamati za kisekta zitakazosimamia utekelezaji wa mpango huo.

Kuainisha kazi zitakazofanywa na serikali,wadau wa maendeleo,wacharo na wananchi.

Kuwa na data kanza ya wacharo kwa uwezo wao wa kitaaluma,kimtandao na kirasilimali ili kujua nani atafanya nini.

Na kwa kuwa Wilaya ya Same ina upungufu mkubwa wa madarasa.Kikao kilikubaliana kila mcharo achangie fedha kuanzia Tshs.100,000/= na kuendelea kusaidia ujenzi wa madarasa ya Sekondari kabla ya tarehe 30/01/2021.

Tutatoa draft ya mpango kuanzia tarehe 01/02/2021.Ili tuweze kuupitia tena kabla ya kukamilisha na kuuchapisha kwa utekelezaji.

Kwa aliye tayari kutuma mchango wa madarasa atume kwa 

Jina la akaunti:Same DC,Miscellaneous Deposit Account.

Namba ya akaunti: 40510000697

Benki:NMB Same branch

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.