• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

DED SAME AUSHUKURU UBALOZI WA JAPAN

Posted on: July 28th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Same Bw.Jimson Mhagama ameushukuru Ubalozi wa Japan hapa nchini kwa kutoa Milioni 281.3 kufadhili Ujenzi wa Zahanati ya Malindi iliyopo Kata ya Siku Wilayani hapa.

Mkurugenzi Mhagama ametoa shukrani hizo wakati mwakilishi wa Balozi wa Japan Bi.Chika alipofika kutembelea Zahanati ya Malindi.

Ujenzi wa Zahanati ya Malindi umegharimu Jumla ya Shilingi Milioni 470.26 ambapo imejumuisha Ufadhili huo wa Japan kupitia Miradi wa Msaada wa kuwezesha Usalama wa wananchi wa Vijijini (Grant Assistance for Grassroots Human Security Project).

Ufadhili mwingine wa Shilingi Milioni 38.6 umetolewa wa Serikali Kuu kupitia Miradi wa maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (SRWSSP)

Halmashauri ya Wilaya ya Same kupitia fedha za mapato ya ndani ilichangia Shilingi Milioni 37.3 ambapo nguvu za wananchi ni Milioni 113.

Katika awamu ya kwanza ya ujenzi ufadhili huu umefanikisha Ujenzi wa jengo la Wagonjwa wa Nje ambalo linajumuisha wadi ya mama,Baba na mtoto,huduma za uzazi,Ujenzi wa Choo cha matundu manne pamoja na ununuzi wa samani pamoja na Ujenzi wa Nyumba moja ya Mtumishi.

Awamu ya pili ambayo itakamilika Agosti mwaka imejumuisha Ujenzi wa kichomea taka,shimo la kutupa kondo la nyuma,shimo la majibu na sehemu ya kunawa mikono.

Zahanati ya Malindi imesajiliwa na imeshaanza kutoa huduma na tayari imeshahudumia wananchi zaidi ya  650O.

Kwa upande wake Bi.Chika aliipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Same kwa kusimamia vema utekelezaji wa Mradi huo ambao umeondoa changamoto ya wananchi kusafiri umbali mrefu kupata huduma za matibabu. 





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MAMLAKA YA MJI MDOGO SAME WAIANGUKIA TARURA

    August 15, 2025
  • SAME YAKOMBA VIKOMBE UMITASHUMTA

    July 25, 2025
  • WANANCHI WENYE CHANGAMOTO ZA KISHERIA WATAKIWA KUITUMIA SAMIA LEGA CAMPAIGN

    August 11, 2025
  • WAKULIMA WATAKIWA KUFUATA KANUNI BORA ZA KILIMO

    August 08, 2025
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.