• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

DC SAME AMPONGEZA DED NA MAAFISA UGANI

Posted on: August 8th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri Bw.Jimson Mhagama pamoja na maafisa ugani Wilayani humo kwa kuendelea kutoa elimu ya kilimo cha kisasa.

Mheshimiwa Kasilda ametoa pongezi hizo wakati alipotembelea banda la Halmashauri ya Wilaya ya Same kwenye maonesho ya Nanenane Kanda ya Kaskazini yanayofanyika kwenye viwanja vya Themi,Njiro Mkoani Arusha.

“Kwakweli nimefurahishwa sana kuona jinsi wakulima walivyoshirikishwa kwenye maonesho haya, lakini pia nimefurahishwa na vipando vya mazao mbalimbali yaliyopo hapa kwenye banda letu kwani mazao yamestawi vizuri sana” alisema

Mheshimiwa Kasilda alisema amefurahishwa pia na teknolojia mpya ya kutumia mikunde pori kurutubisha ardhi lakini pia kupunguza athari za wadudu waharibifu wa mazao.

 “Niwashauri wataalam wangu ujuzi wowote wenye manufaa kwa wakulima na wafugaji wetu ambao mmeupata kwenye maonesho ya Nanenane mhakikishe mnaufikisha kwa wananchi wetu ili waweze kuboresha kilimo na ufugaji wao uweze kuwa na tija” alisema Mkuu huyo

Akizungumza kwa niaba ya wakulima waliowezeshwa kushiriki maonesho hayo,Mwenyekiti wa wakulima wa Tangawizi Mamba Myamba,Same Bw.Mbaruku Ally aliishukuru Serikali kwa kuwawezesha kushiriki maonesho hayo.

“Tunaishuku Serikali Wilayani Same kwa kuona umuhimu wa kuhakikisha tunashiriki maonesho haya,hii ni sehemu ambayo tunajifunza mambo mengi yanayotusaidia kuboresha kilimo na ufugaji”alishukuru Bw.Mbaruku

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.