• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

DC KASILDA AHIMIZA MABENKI KUWAKOPESHA BODABODA

Posted on: March 7th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni amewakutanisha waendesha bodaboda Wilayani Same na taasisi za kifedha ili kuwaunganisha waweze kukopeshwa na kujiendeleza kiuchumi.

Akizungumza katika kikao hicho Mkuu huyo wa Wilaya alisema kazi hya kuendesha bodaboda kwa sasa inafanywa na watu wengi hivyo ni vema wakatambulika na kuweza kukopeshwa na mabenki.

“Leo nimewakutanisha hapa waendesha bodaboda na taasisi za kifedha ili muweze kukopeshwa na kujiendeleza kiuchumi na ninaamini kikao cha leo kitakuwa na tija kwa pande zote mbili” alisema

Mkuu wa Wilaya pia alipongeza viongozi wa Umoja wa waendesha bodaboda Wilayani Same kwa kufanikiwa kusajili kikundi na kukisajili jambo ambalo linasababisha taasisi za fedha kuwaamini na kuweza kuwakopesha.

Akizungumza katika kikao hicho Mwenyekiti wa Umoja huo Bw.Musa Hashim alimshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuasisi uanzishwaji na usajili wa Umoja huo ambao kwasasa una wanachama 124.

“Tunamshukuru sana Mkuu wetu wa Wilaya kwani tulipokutana nae kwa mara ya kwanza alitushauri kuunda umoja na kuusajili ili tuweze kupatiwa mikopo na taasisi za fedha na tayari tumeunda umoja” alisema Bw.Hashim

Kwa Upande wake Meneja wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB) tawi la Same Bw. Mohamed Amri alisema kwasasa benki hiyo inaweza kuwakopesha kwa kupitia kikundi chao.

Nae Afisa Mahusiano wa benki ya NMB Same Bw.Mongi Kundael alisema Benki hiyo ni benki inayojali wajasiriamali na imejipanga kuweza kuwakopesha waendesha bodaboda hao.

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.