• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

DC AZINDUA BODI YA AFYA,ATAKA HUDUMA ZIBORESHWE

Posted on: February 9th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Same Mheshimiwa Kasilda Mgeni amewataka watumishi wa Afya Wilayani humo  kufanya kazi wa kujituma na kuhakikisha kila mgonjwa anayehudumiwa anaridhishwa na huduma zinazotolewa.

Ametoa with huo wakati akifungua kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi Wilaya,ambapo amesema Wilaya kuwa na watumishi wachache wa afya isiwe sababu ya wananchi kutopatiwa huduma bora.

"Niwapongeze sana kwani pamoja na uchache wenu lakini mnafanya kazi nzuri,endeleeni kujituma wakati Serikali ikiendelea kuajiri ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa watumishi"alisema Mkuu wa Wilaya.

Aidha amewataka Maafisa Afya na watendaji wa Kata na Vijiji kuhakikisha wanafanya ukaguzi kwenye kila Kaya na watakapobaini hakuna vyoo hatua stahili zichukuliwe.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya ya Same Dkt.Alex Alexander amesema Kwa mwaka 2024 Idara ya Afya Wilayani humo ilifanikiwa kutoa huduma ya usafirishaji wa dharura Kwa kinamama wajawazito 326 na watoto 62 na kuwawezesha kufikia huduma za afya.

"Idara pia ilifanikiwa kufikia asilimia 100 ya ukusanyaji mapato lindwa ambapo Kwa upande wa Utekelezaji wa Mkataba wa Afya za lishe Wilaya imefanikiwa Kwa asilimia 97" amesema Dkt.Alex.

Kwa upande wa upimaji virusi vya UKIMWI na ushauri nasaha Wilaya ya Same Kwa mwaka 2024 ilipima watu 38,164 ambapo kati yao 532 waligundulika kuwa na maambukizi na wameanzishiwa dawa za kufubaza virusi ARV.

Dkt.Alex alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Kwa kunipatia Wilaya ya Same magari manne ya wagonjwa (Ambulance )ambazo zinatumika hospitali ya Wilaya,hospitali ya Mji na kwenye vituo vya Afya


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.