• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

DC AAGIZA WATUMISHI VIJIJINI KUKAA KWENYE KATA ZAO

Posted on: August 26th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Same Mhe.Rosemary Senyamule katika ziara zake vijijini alikutana na kero kuwa watumishi wote wa kata hiyo hawakai katika eneo la kazi na hivyo wananchi kukosa msaada wanapohitaji huduma za haraka.

Aagiza kabla ya tarehe 30/09/2019 watumishi wote wawe wamehamia kwenye maeneo yao ya kazi.Awasifu wananchi wa Same kwa kujenga nyumba bora ambazo watumishi hao wanaweza kupanga."Nawasifu sana wananchi wa Same kwani nyumba nyingi ni za tofali na bati tena ni za kisasa hadi vijijini;Jinsi ambavyo Rais wetu hatoki nchini ili awahudumie wananchi wake kwa karibu.Ndivyo na sisi kwa ngazi zetu tunatakiwa kukaa muda mwingi maeneo yetu ya kazi ili tuwahudumie wananchi wetu kwa karibu"Alisema DC huyo.

Amuagiza kaimu Mkurugenzi Mtendaji kuchukua hatua kwa watumishi ambao watakuwa hawajahamia kwenye maeneo yao ikifika tarehe hiyo na yeye apate taarifa.

Atatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa muda mrefu kati ya kijiji na wananchi.

Ashiriki msaragambo wa ujenzi wa zahanati ya kwanza katika kata hiyo.

Awapa ujumbe wa Mhe.Rais kupitia waziri wa nishati kuwa kabla ya mwezi Disemba 2019,vijiji vyao vitapata umeme wa REA.

Wananchi wampongeza Rais kwa kufufua reli ya Tanga-Arusha inayopita kwenye kata hiyo.Wataalamu waeleza fursa zilizopo serikalini na kuwakumbusha kujitokeza kupiga kura.DC awaeleza jinsi ambavyo ilani ya CCM imetekelezwa kuanzia Taifa hadi kata yao.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.