• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

CHANGAMOTO YA MAWASILIANO SAME MWISHO

Posted on: July 17th, 2021

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Eng.Andrea M. Kundo alipofanya ziara Wilaya ya Same jimbo la Same Mashariki katika kata ya Vuje na Bombo leo tarehe 17/07/2021.Eng.Kundo ameambatana na wataalamu wa taasisi mbalimbali ambao ni TCRA,UCSAF,meneja wa TTCL mkoa,meneja wa Posta mkoa na watoa huduma wa makampuni ya simu kama Tigo,Vodacom na Halotel ili wasikilize kero za wananchi na kutoa majibu jinsi gani wanazifanyia kazi mapema .Wananchi wa jimbo mla Same Mashariki wametoa shukrani zao za dhati kwa Mbunge wa jimbo hilo Mhe.Anna Kilango Malechela kwa kumleta Mhe.Andrea M. Kundo kusikiliza kero zao za mawasiliano ambapo zimedumu kwa muda mrefu.

Akijibu kero za wananchi Eng.Kundo alimtaka mtaalamu wa TCRA Eng.Imelda kujibu swali linalohusiana na redio ya Tanzania kupatikana Same ambapo Mhandisi huyo amesema masafa ya wilaya ya Same yameshatengwa na yatatangazwa ndani ya mwezi wa 7 ili wananchi na taasisi ndani ya wilaya ya Same wafanye maombi.

Hali kadhalika mtaalamu wa UCSAF ameagizwa kushirikiana na watoa huduma wa makampuni ya Tigo,Vodacom na Halotel ili kuhakikisha minara inafanya kazi na minara itakayojengwa ianze na 3G ili wananchi wapate mawasiliano.

Eng.Kundo amesema Serikali imetenga bajeti ya kuweka minara ya mawasiliano katika kijiji cha bwambo,mweteni na vugwama.

Mhe.Kundo ameagiza ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi kukutana na watoa huduma ndani ya wilaya kabla ya kuwekeza katika maeneo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Same aagizwa kushiriki kutoa tathimini ya eneo na gharama zake.

Aidha mbunge wa Same Masharaki Mhe.Anna Kilango Malechela amesema jimbo hilo limepokea fedha kutoka Serikali kuu kiasi cha shilingi milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya barabara ambapo mkandarasi ataanza kazi mara moja.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.