• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

CCM YAIBUKA NA USHINDI UCHAGUZI WA MARUDIO SAME

Posted on: July 14th, 2023

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi kwa kuwaacha mbali wagombea wengine katika uchaguzi mdogo wa marudio uliofanyika kwenye Kata mbili Wilayani Same Julai 13 mwaka huu.

Kata zilizoshiriki uchaguzi wa marudio ni Kata za Njoro na Kalemawe mbapo katika Kata ya Njoro Mgombea wa CCM Comred Omar Abdallah ameshinda baada ya kupata kura 981 akifuatiwa kwa mbali na mgombea wa NCCR -Mageuzi Bw.Raphael Mrutu aliyepata kura 69.

Akitangaza matokeo hayo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi kwenye Kata hiyo Benedict Lopa alisema Mgombea Rashid Msuya wa ADC alipata kura 8 na wa mwisho ni Paulo Mshana wa TLP aliyepata kura 6.

Msimamizi huyo alimtangaza Omar Abdallah wa CCM kuwa Diwani wa Kata ya Njoro.

"Jumla ya wapigakura 2495 walijiandikisha kupiga kura na waliojitokeza kupiga kura walikuwa 1070 ambapo kura halali zilikuwa 1064 na kura 6 zilikataliwa"alifafanua Lopa.

Kwenye Kata ya Kalemawe aliyekuwa mgombea wa CCM Comred Jofrey Jofrey alishinda kwa kura 1489 akifuatiwa na mgombea Helena Juma wa TLP aliyepata kura 107 ambapo mgombea  Musa Philipo wa CUF alipata kura 50.

Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi katika Kata ya Kalemawe, Christopher Mteri alisema wapigakura walioandikishwa walikuwa 2506 huku waliopiga kura wakiwa 1648 ambapo kura 2 ziliharibika.

Msimamizi huyo alimtangaza Jofrey Jofrey wa CCM kuwa ndiye Diwani wa Kata ya Kalemawe.

Msimamizi wa Uchaguzi katika majimbo ya Same Mashariki na Same Magharibi Bi.Anastazia Tutuba alisema zoezi zima la Uchaguzi lilikuwa la Amani na utulivu na uchaguzi ulikuwa huru na haki.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.