• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

Kupata taratibu za upimaji ardhi

Upimaji wa Ardhi Wilaya Same

UTANGULIZI:


Upimaji na Ramani ni kitengo katika Idara ya Mipango Miji chenye jukumu la kupima ardhi pamoja na utayarishaji wa ramani (Survey plan) mbalimbali za mjini na vijijini. Ramani hizo ni msingi wa kubuni, kutekeleza na kuratibu mipango ya maendeleo juu ya ardhi katika sekta na kwa matumizi mbalimbali.


UPIMAJI (Cadastral Surveys):


Upimaji ni uwekaji wa kumbukumbu za kiwanja, mahali kilipo na ukubwa wake. Kumbukumbu hizi zinahifadhiwa ,kimchoro kwenye ramani (survey plan), kimahesabu (Co-ordinates) na kuweka alama za mipaka (beacons) kwenye kiwanja husika na kuidhinishwa,kusajiliwa na Wizara ya Ardhi nyumba na makazi.


KAZI ZA MPIMAJI (Surveyor):


•Kazi za mpima ardhi zinajumuisha; kuweka mipaka ya viwanja vipya.

•Kurudishia mipaka ya viwanja ambavyo vimeshapimwa na mipaka yake(beacons) zimepotea

•Kuchora ramani za Kiwanja/Viwanja.


TARATIBU ZA UPIMAJI


Ardhi ni eneo la juu la uso wa dunia. Ardhi hii ni mali ya Serikali na msimamizi wake Mkuu ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ili mwananchi aweze kupewa hati Miliki ya kiwanja (ardhi), anatakiwa awe na muhtasari wa Kamati ya Maendeleo ya Kata unaodhibitisha uhalali wa ardhi hiyo.


Maombi ya kupimiwa ardhi yanatumwa kwa Afisa Ardhi wa Wilaya Same. Afisa Ardhi atafanya yafuatayo:-

•Kukagua eneo kuwa ni huru, halina mgogogro wa mipaka, halijawekwa rehani,

•Ardhi husika ina mchoro wa Mipango Miji ulioidhinishwa na Wizara ya Ardhi nyumba na makazi (Approved town Plan drawing)

•Ardhi husika haina upimaji uliokwisha fanyika kwa lengo la umilikishwaji ardhi.


Baada ya Afisa Ardhi kukamilisha ukaguzi wake, mpima wa Wilaya atatoa maelekezo ya upimaji (Survey Instruction) kwa mpimaji yeyote atakayehusika na zoezi la upimaji.


Baada ya upimaji kukamilika, nyaraka zote huwakilishwa kwa Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani kukaguliwa, kuthibitishwa na kusajiliwa kama kumbukumbu rasmi ya mipaka husika


Ili mwananchi aweze kupewa hati miliki ardhi Wilaya Same hana budi kuwa na kumbukumbu ya mipaka ya ardhi hiyo mahali ilipo na ukubwa wake. Pia anatakiwa awe na muhtasari wa Kamati ya Maendeleo ya Kata uliosaniwa na viongozi wahausika,kwa anayemiliki ardhi hiyo kimila au kwa aliyenunua ili kuthibitisha mmiliki wa ardhi hiyo kisheria.


Mwananchi huomba kupimiwa ardhi kwa lengo la kufanikisha umilikishwaji chini ya Sheria Sura Na. 390 (Sheria ya upimaji ardhi) na mchoro wa upimaji uliyoidhinishwa ndio uthibitisho rasmi wa mipaka ya ardhi iliyopimwa.


Faida za upimaji ni kama ifuatavyo:-

•Kuondoa tatizo la migogoro ya mipaka kwa kusuluhishwa kisheria.

•Kupata mikopo mbalimbali kwa kutumia raslimali ya ardhi iliyopimwa.

•Urasimishaji.

•Utambulisho wa mahali kiwanja kilipo.

•Kuongezeka dhamani ya kiwanja.

•Kupanga matumizi ya ardhi ili kuchangia maendeleo katika Wilaya yetu


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 31, 2021
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 06, 2025
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • MRADI WA SWASH ULIVYONUFAISHA WILAYA YA SAME

    April 03, 2025
  • WANANCHI WA MAKEI,SAME WAONDOKANA NA ADHA YA MAJI

    March 23, 2025
  • SAME YATOA ELIMU YA TAHADHARI YA MPOX MASHULENI

    March 18, 2025
  • MAAFISA UTUMISHI SIMAMIENI STAHIKI ZA WATUMISHI-DC SAME

    March 13, 2025
  • Tazama Vyote

Video

KARIBU MWENGE WA UHURU SAME KILIMANJARO 2022
Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts
  • Malalamiko

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.