• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Same District Council
Same District Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Same

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idaraya Elimu Sekondari
      • Rasili Mali Watu na Utawala
      • Ardhi Maliasili na Utalii
      • Fedha Na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Kazi na Zimamoto
      • Maji
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi.
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Kitengo Cha TEHAMA
      • Kitengo Cha Nyuki
      • Kitengo Cha Uchaguzi
      • Kitengo Cha Manunuzi
      • Kitengo Cha Sheria
    • Kata
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Mipango
      • Elimu,Afya na Maji
      • Ujenzi,Uchumi na Mazingira
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
      • TAMKO LA VIONGOZI WA UMMA KUHUSU RASILIMALI NA MADENI
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Stoo Ya Picha

MWANANCHI KUUWAWA NA TEMBO

Monday 23rd, May 2022
@Kasapo-Makanya

Tukio la tembo kuua mwananchi mmoja na ng'ombe ambapo kitengo cha wanyamapori kilikuwa kwenye zoezi la kudhibiti mnyamapori hatari aina ya tembo mmoja dume aliyekuwa katika makazi ya watu katika kata ya makanya.Juhudi za kumdhibiti zilifanyika kwa kumfukuza kurudi kwenye hifadhi.Kwa bahati mbaya tembo huyo alileta madhara tarehe 08/10/2018 kwa kuua ng'ombe mmoja majira ya saa 9 alfajiri katika kitongoji cha Nkwini,kijiji cha Makanya.Katika kumdhibiti asilete madhara zaidi tembo huyo dume alifukuzwa hadi kijiji cha Kasapo uelekeo wa Hifadhi ya Taifa Mkomazi,kwa bahati mbaya alikutana na mwananchi ambaye alikuwa akitoka shambani na kumshambulia hadi kupelekea umauti wake.Mwananchi alijulikana kwa majina ya Athumani Habibu Msambaa mwenye umri wa miaka 35 na aliyekuwa akijishughulisha na kilimo.

Hali kadhalika wananchi na viongozi walitahadharishwa juu ya kuchukua tahadhari za kujilinda na kutoa taarifa haraka kwa kitengo husika endapo mnyamapori atakapoonekana kwenye maeneo yao.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021 October 31, 2021
  • Siku ya kufanya usafi mwezi Septemba September 08, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2020 August 21, 2020
  • MATOKEO DARASA LA SABA 2020 November 23, 2020
  • Tazama Vyote

Habari Za Sasa

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

    February 21, 2022
  • MHE.MPOGOLO AKABIDHI PIKIPIKI

    February 15, 2022
  • UHAMASISHAJI HERENI ZA KIELEKTRONIKI

    February 15, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2021

    January 15, 2022
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viunganishi Vya Haraka

  • Forms And Templates
  • Rules and Regulation
  • Videos
  • Galleys
  • News
  • Events
  • Strategic Plan
  • Reports
  • Acts

Viunganishi Vyenye Uhusiano

  • PO-Ralg
  • PO-Psm
  • e-Government Agency
  • Kilimanjaro Region
  • Employment
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Watembeleaji

free HitCounter

Ramani Ya Wilaya

Wasiliana Nasi

    The Way Through Mkomazi Nationa Park or District Hospital

    Sanduku La Posta: P.O.Box 138

    Simu ya mezani: +255 27 2758034

    Simu Ya Mkononi: +255 717657681

    Email: ded@samedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.