Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Bi.Anastazia Tutuba pamoja na menejimenti na watumishi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Same wanatoa pole kwa familia yote na serikali kwa ujumla kwa kumpoteza shujaa na jemedari wetu Dr John Joseph Magufuli.
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.Amen.
The Way Through Mkomazi Nationa Park or District Hospital
Sanduku La Posta: P.O.Box 138
Simu ya mezani: +255 27 2758034
Simu Ya Mkononi: +255 687 786576
Email: ded@samedc.go.tz
Hakimiliki©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Same.Haki zote zimehifadhiwa.